Skip to main content

UMUHIMU WA CHAKULA BORA NA MAJI SAFI KATIKA UFUGAJI WA KUKU




Bila kuku kulishwa chakula bora na kupewa maji safi , salama,yasiyokuwa moto na yanayopatikana muda wote wa mchana na usiku , usitegemee mayai mengi wala nyama nyingi ,laini na nyeupe.

Ulishaji bora uanzie kwa vifaranga wa siku  moja hadi kipindi chote cha utagaji au kuku kuuzwa kwaajiri ya kuchinjwa.

Chakula bora cha kuku ni mchanganyiko maalum uliozingatia uwiano wa:-
Vyakula vya aina ya protin (protin nyama, protin mimea) kwa kujenga mwili na kuunda sehemu za mwili zilizoharibika.

Madini kama chumvi na chokaa kwa kujenga mifupa na kutengeneza makaka ya mayai.

Vyakula vya wanga kwa kutia nguvu mwili wa kuku.

Mchanga kwaajili ya kusaga chakula

Vitamin kwa kutia afya mwili na kumfanya kuku awe mchangamfu

Kazi ya maji ni kuwezesha chakula hicho kumeng'enywa ili kiweze kuingia mwilini na kufanya kazi iliyokusudiwa.

Faida za chakula bora .
Kuku hukua haraka
Kuku hukomaa mapema
Kuku huwa na afya nzuri
Kuku kutaga mayai mengi,makubwa na yenye makaka magumu
Utagaji huendelea kwa muda mrefu
Nyama huwa nyingi,laini na nyeupe
Uzito wa kuku huongezeka

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUWA MWANDISHI MZURI WA VITABU

Hivi leo vitabu ni moja kati ya vyanzo vikuu vya maarifa; ingawa bado watu wengi hawafahamu tunu inayopatikana katika vitabu. Mara nyingi umekuwa ukisoma vitabu kadha wa kadha ambavyo vimekuburudisha au hata kukufundisha mambo mengi. Lakini pia inawezekana wewe una mambo ambayo ungependa kuyaweka katika vitabu. Ni wazi kuwa kuna mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia kuandika kitabu ili kiweze kufikisha ujumbe au kutimiza lengo lililokusudiwa. Karibu ufahamu mbinu  zitakazokuwezesha katika uandishi wa vitabu. 1. Chagua wazo bora Hatua ya kwanza kabisa katika uandishi wa kitabu ni kuchagua mada au wazo bora. Hakikisha unachagua wazo au mada kwa makini ambayo itakuwezesha kukamilisha lengo lako. Unaweza kuzingatia haya: Chagua mada ambayo unaipenda na unaielewa vyema. Chagua mada ambayo inahitajiwa na wasomaji. Chagua mada ambayo haikiuki sheria au maadili ya eneo unalolenga. Chagua mada ambayo inaziba pengo lililoachwa na vitabu vingine. 2. Pangilia kabla ya kuandika Mpangilio ni...

CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI TANZANIA (NIT) KINACHO TOA MAFUNZO MBALI MBALI YA USAFIRISHAJI KINAHAKIKISHA SETKA YA UCHUKUZI INAKUWA IMARA SIKU BAADA YA SIKU.

NAFASI 37 ZA KAZI TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY (TIA) DEADLINE 29/11/2019

The Tanzania Institute of Accountancy (TIA) is an Executive Agency under the Ministry of Finance and Planning which was established on 1st July, 2002 by the Government Notice No. 489 of 1st November, 2001 and officially launched on 24th January, 2002 as per Act No. 30 of 1997. As an Executive Agency, TIA is operating ‘semi’ autonomously and commercially in providing quality education in the field of Accountancy, Procurement & Supplies and other Business related disciplines so as to become a self-sustainable Institute. TIA is accredited by NACTE as an Institute of Higher Learning Education. ==>>Kujua Namna Ya Kutuma Maombi ; << Ingia Ha>> The Institute is looking for qualified and dedicated personnel to fill the post of Tutorial Assistants on contract basis. The table below provides details on a particular fields/ professionals one should apply against. ==>>Kujua Namna Ya Kutuma Maombi ; << Ingia Ha>>