Skip to main content

BEI NDOGO YAKATISHA TAMAA WAKULIMA WA KAHAWA.


Wakulima wa zao la kahawa wa kata ya Mugoma wilayani Ngara mkoani Kagera wamekatishwa tamaa na zao Hilo kutokana na kushuka bei kwakiasi kikubwa.

Wakizungumza na Muungwana Blog baadhi ya wakulima hao wamesema kuwa zao hilo limeshuka bei wakati wa uuzaji wao kwani mwaka jana kahawa Kg1 ilikuwa ikiuzwa 1800 lakini kwasasa huuzwa Kg1 1100.

Wamesema hali hiyo ya uuzaji wa kahawa inawakatisha tamaa kama wakulima kwani kahawa ndio tegemezi lao katika maisha yao ya kila siku.

Gedion ambaye ni mkulima wa zao hilo amesema kuwa kahawa imeshuka kiasi kikubwa hali ambayo inapelekea kutokujikwamua kiuchumi.

Shukuru ambaye pia ni mkulima  amesema zao hilo limemewakatisha tamaa kutokana nakushuka bei mara kwa Mara wakati wa uuzaji wao kwa wafanyabiashara.

"Kama mwaka huu zao kahawa Kg1 1100 na mwaka jana ilikuwa Kg1 1800 unaona ni jinsi gani tunapata hasara wakati wa uuzaji wetu wakati tunatumia gharama kubwa wakati wakulima." Amesema Shukuru

Cosmas Bishundu ni mwenyekiti wa kitongoji cha Mkagugo kijiji cha Mruvyagira kata ya Mugoma amekiri kuwepo kwa changamoto hiyo kwa wakulima hao nakuwatoa wasiwasi kwani tatizo hilo ashalifikisha kwa viongozi wa juu nalinafanyiwa kazi.

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUWA MWANDISHI MZURI WA VITABU

Hivi leo vitabu ni moja kati ya vyanzo vikuu vya maarifa; ingawa bado watu wengi hawafahamu tunu inayopatikana katika vitabu. Mara nyingi umekuwa ukisoma vitabu kadha wa kadha ambavyo vimekuburudisha au hata kukufundisha mambo mengi. Lakini pia inawezekana wewe una mambo ambayo ungependa kuyaweka katika vitabu. Ni wazi kuwa kuna mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia kuandika kitabu ili kiweze kufikisha ujumbe au kutimiza lengo lililokusudiwa. Karibu ufahamu mbinu  zitakazokuwezesha katika uandishi wa vitabu. 1. Chagua wazo bora Hatua ya kwanza kabisa katika uandishi wa kitabu ni kuchagua mada au wazo bora. Hakikisha unachagua wazo au mada kwa makini ambayo itakuwezesha kukamilisha lengo lako. Unaweza kuzingatia haya: Chagua mada ambayo unaipenda na unaielewa vyema. Chagua mada ambayo inahitajiwa na wasomaji. Chagua mada ambayo haikiuki sheria au maadili ya eneo unalolenga. Chagua mada ambayo inaziba pengo lililoachwa na vitabu vingine. 2. Pangilia kabla ya kuandika Mpangilio ni...

CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI TANZANIA (NIT) KINACHO TOA MAFUNZO MBALI MBALI YA USAFIRISHAJI KINAHAKIKISHA SETKA YA UCHUKUZI INAKUWA IMARA SIKU BAADA YA SIKU.

NAFASI 37 ZA KAZI TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY (TIA) DEADLINE 29/11/2019

The Tanzania Institute of Accountancy (TIA) is an Executive Agency under the Ministry of Finance and Planning which was established on 1st July, 2002 by the Government Notice No. 489 of 1st November, 2001 and officially launched on 24th January, 2002 as per Act No. 30 of 1997. As an Executive Agency, TIA is operating ‘semi’ autonomously and commercially in providing quality education in the field of Accountancy, Procurement & Supplies and other Business related disciplines so as to become a self-sustainable Institute. TIA is accredited by NACTE as an Institute of Higher Learning Education. ==>>Kujua Namna Ya Kutuma Maombi ; << Ingia Ha>> The Institute is looking for qualified and dedicated personnel to fill the post of Tutorial Assistants on contract basis. The table below provides details on a particular fields/ professionals one should apply against. ==>>Kujua Namna Ya Kutuma Maombi ; << Ingia Ha>>