Skip to main content

FAIDA ZITOKANAZO NA ULAJI WA UGALI WA DONA



Watu wengi hupendelea ugali mweupe, au watu wengine hupenda kuuita sembe, Faida ya sembe ni vile unavyoweza kuhifadhiwa kwa muda mrefu bila kuharibika kuliko dona na wapo wengine huipenda sembe labda inavutia machoni tu kutokana na rangi yake.

Ila ulaji wa dona na dona la mahindi ya njano una faida nyingi kiafya na kiuchumi!

1. Una virurutbisho muhimu vikiwemo vitamini na madini mbalimbali yanayohitajika kwa afya ya mwili na akili. Katika sembe virutubisho vyote huondokewa kwa kukoboa.

2. Una nyuzi lishe ambazo husaidia msukumo na mmeng'enyi wa chakula, hivyo huzuia matatizo ya kukosa kubwa na hata saratani ya utumbo mpana.

3. Hupunguza hatari ya kupata magonjwa yasiyiambukizwa yakiwemo kisukari, uzito kupita kiasi, shinikizo la damu n.k kwa sababu kiasi cha wanga kinachoweza kuchukuliwa huwa kidogo kwenye dona kuliko sembe.

4. Mahindi ya njano yana vitamin A kwa wingi ambayo ni muhimu kwa afya ya macho, ngozi na mifumo mbalimbali mwilini.

5. Unapunguza gharama na muda wa kukoboa na kutupa chakula kama mapumba.

Wengi tunashangaa mbona kasi ya magonjwa ni mengi kuliko zamani kumbe wachawi ni sisi wenyewe. Hebu anza leo kula ugali wa dona uone maajabu yaliyo ndani yake.

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUWA MWANDISHI MZURI WA VITABU

Hivi leo vitabu ni moja kati ya vyanzo vikuu vya maarifa; ingawa bado watu wengi hawafahamu tunu inayopatikana katika vitabu. Mara nyingi umekuwa ukisoma vitabu kadha wa kadha ambavyo vimekuburudisha au hata kukufundisha mambo mengi. Lakini pia inawezekana wewe una mambo ambayo ungependa kuyaweka katika vitabu. Ni wazi kuwa kuna mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia kuandika kitabu ili kiweze kufikisha ujumbe au kutimiza lengo lililokusudiwa. Karibu ufahamu mbinu  zitakazokuwezesha katika uandishi wa vitabu. 1. Chagua wazo bora Hatua ya kwanza kabisa katika uandishi wa kitabu ni kuchagua mada au wazo bora. Hakikisha unachagua wazo au mada kwa makini ambayo itakuwezesha kukamilisha lengo lako. Unaweza kuzingatia haya: Chagua mada ambayo unaipenda na unaielewa vyema. Chagua mada ambayo inahitajiwa na wasomaji. Chagua mada ambayo haikiuki sheria au maadili ya eneo unalolenga. Chagua mada ambayo inaziba pengo lililoachwa na vitabu vingine. 2. Pangilia kabla ya kuandika Mpangilio ni...

CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI TANZANIA (NIT) KINACHO TOA MAFUNZO MBALI MBALI YA USAFIRISHAJI KINAHAKIKISHA SETKA YA UCHUKUZI INAKUWA IMARA SIKU BAADA YA SIKU.

NAFASI 37 ZA KAZI TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY (TIA) DEADLINE 29/11/2019

The Tanzania Institute of Accountancy (TIA) is an Executive Agency under the Ministry of Finance and Planning which was established on 1st July, 2002 by the Government Notice No. 489 of 1st November, 2001 and officially launched on 24th January, 2002 as per Act No. 30 of 1997. As an Executive Agency, TIA is operating ‘semi’ autonomously and commercially in providing quality education in the field of Accountancy, Procurement & Supplies and other Business related disciplines so as to become a self-sustainable Institute. TIA is accredited by NACTE as an Institute of Higher Learning Education. ==>>Kujua Namna Ya Kutuma Maombi ; << Ingia Ha>> The Institute is looking for qualified and dedicated personnel to fill the post of Tutorial Assistants on contract basis. The table below provides details on a particular fields/ professionals one should apply against. ==>>Kujua Namna Ya Kutuma Maombi ; << Ingia Ha>>