Skip to main content

NAFASI ZA KAZI SHIRIKA LA HIFADHI YA TAIFA TANAPA


 Nafasi 61  za Kazi TANAPA
▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬
Shirika la Hifadhi ya Taifa (Tanapa) limetangaza Nafasi 61 za kazi kwa Watanzania.
==>Elimu ni kuanzia Cheti, Dilpoma au Degree.

==>Nafasi Zilizotangazwa ni kama ifuatavyo;
👉 Conservation Assistant I
I - Accounts (Nafasi 2)
👉 Conservation Assistant II - Procurement (Nafasi 6)
👉 Conservation Assistant II -  Records Management (Nafasi 1)
👉 Conservation Assistant II - Wildlife Management - Ecology (Nafasi 1) 
👉 Conservation Officer II - Accountant (Nafasi 3) 
👉 Conservation Officer II - Accounts (Nafasi 14)  
👉Conservation Officer II - Corporate Communication (Nafasi 2)   
👉 Conservation Officer II -Geographical Information Systems (Nafasi 1) 
👉 Conservation Officer II - Human Resource And Administration (Nafasi 1)      
👉 Conservation Officer II - Procurement And Supplies (Nafasi 9) 
👉 Conservation Officer II - Wildlife Management - Law Enforcement (Nafasi 3)
👉 Conservation Officer II - Wildlife Management - Tourism (Nafasi 1) 
👉 Conservation Ranger III - Accounts (Nafasi 5)  
👉 Conservation Ranger III - Artisan (Nafasi 3)  
👉 Conservation Ranger III - Records Management (Nafasi 1)  
👉 Conservation Ranger III - Supplies (Nafasi 5)   
👉 Conservation Ranger III - Wildlife Management - Tourism (Nafasi 3)    
 ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬
 
 ==>>Pia zipo nafasi mbalimbali za kazi kama vile; Afisa Mtendaji (Simiyu), Walimu, UBER TANZANIA,  AIRTEL, JUMIA, NOKIA TANZANIA,UMOJA WA MATAIFA

▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬
Bonyeza hapo chini kujua zaidi

👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
http://ajirazote.com/jobs

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUWA MWANDISHI MZURI WA VITABU

Hivi leo vitabu ni moja kati ya vyanzo vikuu vya maarifa; ingawa bado watu wengi hawafahamu tunu inayopatikana katika vitabu. Mara nyingi umekuwa ukisoma vitabu kadha wa kadha ambavyo vimekuburudisha au hata kukufundisha mambo mengi. Lakini pia inawezekana wewe una mambo ambayo ungependa kuyaweka katika vitabu. Ni wazi kuwa kuna mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia kuandika kitabu ili kiweze kufikisha ujumbe au kutimiza lengo lililokusudiwa. Karibu ufahamu mbinu  zitakazokuwezesha katika uandishi wa vitabu. 1. Chagua wazo bora Hatua ya kwanza kabisa katika uandishi wa kitabu ni kuchagua mada au wazo bora. Hakikisha unachagua wazo au mada kwa makini ambayo itakuwezesha kukamilisha lengo lako. Unaweza kuzingatia haya: Chagua mada ambayo unaipenda na unaielewa vyema. Chagua mada ambayo inahitajiwa na wasomaji. Chagua mada ambayo haikiuki sheria au maadili ya eneo unalolenga. Chagua mada ambayo inaziba pengo lililoachwa na vitabu vingine. 2. Pangilia kabla ya kuandika Mpangilio ni...

HEKA HEKA VIWANJANI;KIKOSI CHA TIMU YA HR\MKT WAFANIKIWA PENYA NUSU FAINALI BAADA YA KUWACHAPA MECHANICS KATIKA VIWANJA VYA CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI (NIT).

Hiki ndicho kikosi cha timu ya HR\MKT kilicho wachabanga MECHANICS Kwa goli moja bila katika kipindi cha kwanza goli lilofungwa na mchezaji mahiri maarufu kama (Jay) mwenye jezi nambari 17 mgongoni ni James Philimon akiwa na magoli matano katika michuano ya interclass na hadi kipenga cha mwisho muamuzi wa mchezo huo kumaliza mchezo na kuwafanya HR\MKT chukua point tatu muhimu mbele ya washika spana MECHANICS na kujikusanyia point tisa(9) na kufanikiwa kuingia nusu fainali Matokeo yakiwa HR\MKT 1 na MECHANICS O Hichi ndicho kikosi cha MECHANICS kilicho shindwa kutamba mbele ya timu ya mafisa waajiri wakiungana na mafisa masoko na kufanikiwa kuwatoa katika michuano ya interclass inayoendelea katika chuo cha taifa cha usafirishaji (NIT).

CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI TANZANIA (NIT) KINACHO TOA MAFUNZO MBALI MBALI YA USAFIRISHAJI KINAHAKIKISHA SETKA YA UCHUKUZI INAKUWA IMARA SIKU BAADA YA SIKU.