Mwanafunzi aitwaye NJAKO ambaye ni muhitimu wa fani ya uhandisi kitengo cha matengenezo ya ndege katika chuo cha taifa cha usafirishaji (NIT ) ametengeneza mguu wa ndege alimaarufu bawa la ndege Kama iliyopita kwenye ndege Aina ya Airbus,Boeng na Mdogo nyingine zinazotumia Aina za miguu au nawatakia hilo. Njako akasema changamoto kubwa ilikuwa ni fedha na hata kupelekea yenye kuuza laptop yake iliamalizie ubunifu wake.
Hivi leo vitabu ni moja kati ya vyanzo vikuu vya maarifa; ingawa bado watu wengi hawafahamu tunu inayopatikana katika vitabu. Mara nyingi umekuwa ukisoma vitabu kadha wa kadha ambavyo vimekuburudisha au hata kukufundisha mambo mengi. Lakini pia inawezekana wewe una mambo ambayo ungependa kuyaweka katika vitabu. Ni wazi kuwa kuna mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia kuandika kitabu ili kiweze kufikisha ujumbe au kutimiza lengo lililokusudiwa. Karibu ufahamu mbinu zitakazokuwezesha katika uandishi wa vitabu. 1. Chagua wazo bora Hatua ya kwanza kabisa katika uandishi wa kitabu ni kuchagua mada au wazo bora. Hakikisha unachagua wazo au mada kwa makini ambayo itakuwezesha kukamilisha lengo lako. Unaweza kuzingatia haya: Chagua mada ambayo unaipenda na unaielewa vyema. Chagua mada ambayo inahitajiwa na wasomaji. Chagua mada ambayo haikiuki sheria au maadili ya eneo unalolenga. Chagua mada ambayo inaziba pengo lililoachwa na vitabu vingine. 2. Pangilia kabla ya kuandika Mpangilio ni...

Comments
Post a Comment
Yes