Skip to main content

ZOEZI LA KUSAINI FEDHA ZA FIELD PRACTICE LITAKALO FANYIKA ENEO LA GARDEN MKABALA NA OFISI ZA UHASIBU

MATANGAZO KWA WANUFAIKA
zoezi la kusign pesa za field litakuwa kama mlivyo tangaziwa kwenye matangazo yaliyo pita....wasainishaji watakuwepo pale  garden kuwanzia siku  ya jumatatu  saa tatu asubuhi mbaka saa tisa alasili kwa muda wa siku tano
    MUHIMU SANA HII
Kwa wale wote waliokuwa na  double   payment mukija kusign munapaswa kuja na BANK statement zenu kuanzia 01/06/2018 adi 01/06/2019  ni muhimu sana na itakurahisishiaa mambo ya kwenda na kurudi maana usipo kuja nayo unapaswa kwenda kuichukua

Kwa wale walio anza kuzilipa pesa hizo za double payment munapaswa kuja na pay slip zinazo onesha malipo hayo.
*NB*:- pia kwa wale ambao amujui kama muna pesa za field au amna mtafika pale kwaajili ya kujihakikishia mwenyewe
Asanteni
                      Imetolewa na
                    KAPINGA FRANCE
              Naibu waziri wa mikopo na ufadhili SONIT

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUWA MWANDISHI MZURI WA VITABU

Hivi leo vitabu ni moja kati ya vyanzo vikuu vya maarifa; ingawa bado watu wengi hawafahamu tunu inayopatikana katika vitabu. Mara nyingi umekuwa ukisoma vitabu kadha wa kadha ambavyo vimekuburudisha au hata kukufundisha mambo mengi. Lakini pia inawezekana wewe una mambo ambayo ungependa kuyaweka katika vitabu. Ni wazi kuwa kuna mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia kuandika kitabu ili kiweze kufikisha ujumbe au kutimiza lengo lililokusudiwa. Karibu ufahamu mbinu  zitakazokuwezesha katika uandishi wa vitabu. 1. Chagua wazo bora Hatua ya kwanza kabisa katika uandishi wa kitabu ni kuchagua mada au wazo bora. Hakikisha unachagua wazo au mada kwa makini ambayo itakuwezesha kukamilisha lengo lako. Unaweza kuzingatia haya: Chagua mada ambayo unaipenda na unaielewa vyema. Chagua mada ambayo inahitajiwa na wasomaji. Chagua mada ambayo haikiuki sheria au maadili ya eneo unalolenga. Chagua mada ambayo inaziba pengo lililoachwa na vitabu vingine. 2. Pangilia kabla ya kuandika Mpangilio ni...

CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI TANZANIA (NIT) KINACHO TOA MAFUNZO MBALI MBALI YA USAFIRISHAJI KINAHAKIKISHA SETKA YA UCHUKUZI INAKUWA IMARA SIKU BAADA YA SIKU.

NAFASI 37 ZA KAZI TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY (TIA) DEADLINE 29/11/2019

The Tanzania Institute of Accountancy (TIA) is an Executive Agency under the Ministry of Finance and Planning which was established on 1st July, 2002 by the Government Notice No. 489 of 1st November, 2001 and officially launched on 24th January, 2002 as per Act No. 30 of 1997. As an Executive Agency, TIA is operating ‘semi’ autonomously and commercially in providing quality education in the field of Accountancy, Procurement & Supplies and other Business related disciplines so as to become a self-sustainable Institute. TIA is accredited by NACTE as an Institute of Higher Learning Education. ==>>Kujua Namna Ya Kutuma Maombi ; << Ingia Ha>> The Institute is looking for qualified and dedicated personnel to fill the post of Tutorial Assistants on contract basis. The table below provides details on a particular fields/ professionals one should apply against. ==>>Kujua Namna Ya Kutuma Maombi ; << Ingia Ha>>