Skip to main content

KIKOSI CHA TIMU YA WATAALAMU WA USAFIRI WAIBUKA NA USHINDI WA KISTORIA KATIKA VIWANJA VYA CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI NIT

hichi ndicho kikosi cha timu ya Transport and logistic kilichongia dimbani leo saa nane mchana katika dimba la chuo cha taifa cha usafirishaji NIT na kuibuka na ushindi mnono na kufafanya kunyakuwa point tatu muhimu na kuwa na alama 4 katika kundi lao.hadi kipenga cha mwisho timu ya Transport and Logistic 8 na AVI\CL\BBA 0 Magoli ya timu ya logistic and transport yalifungwa nawachezaji wafuatao yusuph issa jezi namba 10 goli 3 ,solomoni Bakari jezi nambari 5 goli 1,lugano mwaisomola jezi nambari 7 goli 1,kasokola abed jezi nambari 12 goli1,Kennedy magawa jezi nambari 8 goli1 na sensamin pallongyo timu ya transport and logistics wakifubiri mechi ya saa kumi huku wakimuombea njaa adui wao timu ya procurement and logistics kufungwa na timu ya automobile ili waweze kuoenya kwenye nusu faina wakiwa na point saw a nne 4 huku timu ya transport and logistics ikiongoza kwa magoli yakufunga.
Hichi ndicho kikosi cha AVI\CL\BBA kilionyesha udhaifu wa hali ya juu kwa kupingwa goli 8 kwa bila dhidi ya bingwa mtezi wa mashindano ya interclass katika viwanja vya chuo cha taiga cha usafirishaji na kushindwa kuingia nusu fainali

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUWA MWANDISHI MZURI WA VITABU

Hivi leo vitabu ni moja kati ya vyanzo vikuu vya maarifa; ingawa bado watu wengi hawafahamu tunu inayopatikana katika vitabu. Mara nyingi umekuwa ukisoma vitabu kadha wa kadha ambavyo vimekuburudisha au hata kukufundisha mambo mengi. Lakini pia inawezekana wewe una mambo ambayo ungependa kuyaweka katika vitabu. Ni wazi kuwa kuna mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia kuandika kitabu ili kiweze kufikisha ujumbe au kutimiza lengo lililokusudiwa. Karibu ufahamu mbinu  zitakazokuwezesha katika uandishi wa vitabu. 1. Chagua wazo bora Hatua ya kwanza kabisa katika uandishi wa kitabu ni kuchagua mada au wazo bora. Hakikisha unachagua wazo au mada kwa makini ambayo itakuwezesha kukamilisha lengo lako. Unaweza kuzingatia haya: Chagua mada ambayo unaipenda na unaielewa vyema. Chagua mada ambayo inahitajiwa na wasomaji. Chagua mada ambayo haikiuki sheria au maadili ya eneo unalolenga. Chagua mada ambayo inaziba pengo lililoachwa na vitabu vingine. 2. Pangilia kabla ya kuandika Mpangilio ni...

CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI TANZANIA (NIT) KINACHO TOA MAFUNZO MBALI MBALI YA USAFIRISHAJI KINAHAKIKISHA SETKA YA UCHUKUZI INAKUWA IMARA SIKU BAADA YA SIKU.

NAFASI 37 ZA KAZI TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY (TIA) DEADLINE 29/11/2019

The Tanzania Institute of Accountancy (TIA) is an Executive Agency under the Ministry of Finance and Planning which was established on 1st July, 2002 by the Government Notice No. 489 of 1st November, 2001 and officially launched on 24th January, 2002 as per Act No. 30 of 1997. As an Executive Agency, TIA is operating ‘semi’ autonomously and commercially in providing quality education in the field of Accountancy, Procurement & Supplies and other Business related disciplines so as to become a self-sustainable Institute. TIA is accredited by NACTE as an Institute of Higher Learning Education. ==>>Kujua Namna Ya Kutuma Maombi ; << Ingia Ha>> The Institute is looking for qualified and dedicated personnel to fill the post of Tutorial Assistants on contract basis. The table below provides details on a particular fields/ professionals one should apply against. ==>>Kujua Namna Ya Kutuma Maombi ; << Ingia Ha>>