Skip to main content

SOKA LETU;MBIO ZA SAKAFUNI HUISHIA UKINGONI KATIKA VIWANJA VYA CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI NIT

Hiki ni kikosi cha timu ya HR\MKT siku ya Leo yaendeleza ubabe wake na kuharibu atmosphere ya viwanja vya chuo cha taifa cha usafirishaji kwa kushinda dhidi ya procurement kwa kuwa tandika 3 moja na kufanikiwa kupenya nusu fainali ambaye atakeye shinda mechi ya jioni dhidi ya automobile vs BEMIT \BATF magoli mawili ya likuwa ya faulu iliyopingwa na team captain maarufu ka master aliyevalia jezi nambari 3 na goli jingine lilifungwa na mchezaji mahiri anaenda kwa jina la jerry na pia timu ya procurement kufungiwa goli LA kuutia machozi na maulid jezi nambari 10 na kipenga cha mwisho kupulizwa HR\MKT 3 na PROCUREMENT 1
Hichi ndicho kikosi cha procurement kilicho fungwa na timu ya HR\MKT 3 kwa 1 PROCUMENT
Hawa ni mashabiki na wachezaji wa timu ya HR\MKT baada kushinda wakishalia kufanikiwa kuingia fainali ya muchuano ya interclass inayo endelea katika chuo cha taifa cha usafirishaji NIT

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUWA MWANDISHI MZURI WA VITABU

Hivi leo vitabu ni moja kati ya vyanzo vikuu vya maarifa; ingawa bado watu wengi hawafahamu tunu inayopatikana katika vitabu. Mara nyingi umekuwa ukisoma vitabu kadha wa kadha ambavyo vimekuburudisha au hata kukufundisha mambo mengi. Lakini pia inawezekana wewe una mambo ambayo ungependa kuyaweka katika vitabu. Ni wazi kuwa kuna mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia kuandika kitabu ili kiweze kufikisha ujumbe au kutimiza lengo lililokusudiwa. Karibu ufahamu mbinu  zitakazokuwezesha katika uandishi wa vitabu. 1. Chagua wazo bora Hatua ya kwanza kabisa katika uandishi wa kitabu ni kuchagua mada au wazo bora. Hakikisha unachagua wazo au mada kwa makini ambayo itakuwezesha kukamilisha lengo lako. Unaweza kuzingatia haya: Chagua mada ambayo unaipenda na unaielewa vyema. Chagua mada ambayo inahitajiwa na wasomaji. Chagua mada ambayo haikiuki sheria au maadili ya eneo unalolenga. Chagua mada ambayo inaziba pengo lililoachwa na vitabu vingine. 2. Pangilia kabla ya kuandika Mpangilio ni...

CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI TANZANIA (NIT) KINACHO TOA MAFUNZO MBALI MBALI YA USAFIRISHAJI KINAHAKIKISHA SETKA YA UCHUKUZI INAKUWA IMARA SIKU BAADA YA SIKU.

HEKA HEKA VIWANJANI;KIKOSI CHA TIMU YA HR\MKT WAFANIKIWA PENYA NUSU FAINALI BAADA YA KUWACHAPA MECHANICS KATIKA VIWANJA VYA CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI (NIT).

Hiki ndicho kikosi cha timu ya HR\MKT kilicho wachabanga MECHANICS Kwa goli moja bila katika kipindi cha kwanza goli lilofungwa na mchezaji mahiri maarufu kama (Jay) mwenye jezi nambari 17 mgongoni ni James Philimon akiwa na magoli matano katika michuano ya interclass na hadi kipenga cha mwisho muamuzi wa mchezo huo kumaliza mchezo na kuwafanya HR\MKT chukua point tatu muhimu mbele ya washika spana MECHANICS na kujikusanyia point tisa(9) na kufanikiwa kuingia nusu fainali Matokeo yakiwa HR\MKT 1 na MECHANICS O Hichi ndicho kikosi cha MECHANICS kilicho shindwa kutamba mbele ya timu ya mafisa waajiri wakiungana na mafisa masoko na kufanikiwa kuwatoa katika michuano ya interclass inayoendelea katika chuo cha taifa cha usafirishaji (NIT).