Hawa ni wachezaji wa timu ya HR na Market wakiwa wameungana na kutengeneza timu moja . Timu hii ni muunganiko baina ya BEMIT na BATF na kuform timu moja
Baada ya mtanage mkali wa ufunguzi kuisha matokeo ni HR\MKT (3)na BATF\BEMIT (2).kipindi cha kwanza HR\MKT Kuongoza (2) magoli yakifungwa na James philimoni jezi 17 na lapili seif jezi (7) na goli la BEMIT\BATF goli LA kwanza lilifungwa na Alex kadangu jezi no (9) na mechi kumalizika kwa kufungwa goli mbili goli la HR\MKT lilifungwa na James philimon jezi no(9) na BEMIT\BATF kusawazisha dakika cha na kufungwa na Vitus jezi no (8) na matokeo kubaki BEMIT\BATF 2 na HR\MKT 3
Hivi leo vitabu ni moja kati ya vyanzo vikuu vya maarifa; ingawa bado watu wengi hawafahamu tunu inayopatikana katika vitabu. Mara nyingi umekuwa ukisoma vitabu kadha wa kadha ambavyo vimekuburudisha au hata kukufundisha mambo mengi. Lakini pia inawezekana wewe una mambo ambayo ungependa kuyaweka katika vitabu. Ni wazi kuwa kuna mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia kuandika kitabu ili kiweze kufikisha ujumbe au kutimiza lengo lililokusudiwa. Karibu ufahamu mbinu zitakazokuwezesha katika uandishi wa vitabu. 1. Chagua wazo bora Hatua ya kwanza kabisa katika uandishi wa kitabu ni kuchagua mada au wazo bora. Hakikisha unachagua wazo au mada kwa makini ambayo itakuwezesha kukamilisha lengo lako. Unaweza kuzingatia haya: Chagua mada ambayo unaipenda na unaielewa vyema. Chagua mada ambayo inahitajiwa na wasomaji. Chagua mada ambayo haikiuki sheria au maadili ya eneo unalolenga. Chagua mada ambayo inaziba pengo lililoachwa na vitabu vingine. 2. Pangilia kabla ya kuandika Mpangilio ni...


Comments
Post a Comment
Yes